DI MARIA AONDOKA MANCHESTER UNITED
Posted by Unknown on 09:27 with No comments

Winga wa Manchester United amekubali kujiunga na
PSG kwa £60m, hii ni baada ya kuwa na msimu mbaya kwenye ligi kuu ya Uingereza.

Raisi wa PSg Nasser Al-Khelaifi amesema kuwa Di Maria ndiyo shabaha ya kwanza ya klabu hiyo ya Ligue 1.
Categories: SPORTS
0 comments:
Post a Comment