Showing posts with label celebrity. Show all posts
Showing posts with label celebrity. Show all posts
Friday, 22 July 2016
Monday, 4 July 2016
Thursday, 16 June 2016
Unknowncelebrity
CHIDI_BENZ mwaonekano mpya.


Msanii wa Bongofleva Chid Benz usiku wa June 15 2016 alipost picha za muonekano wake mpya ikiwa ni siku chache baada ya kutoka Sober house Bagamoyo, alipokuwa amekaa kwa siku kadhaa kama njia ya kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya.


Tuesday, 15 March 2016
Hiki ndo kisa cha cha P Square kuvunjika
Baada ya kudumu kwa kipindi cha miaka 19, kundi la P-Square limevunjika rasmi. Hakuna aliyewahi kuwaza iwapo kundi hili maarufu na lililofanikiwa kuliko yote Afrika lingeweza kufika katika hatua hii.

Ni hatua iliyowashtua wengi. Kwa sasa Paul na Peter Okoye ni wasanii wawili wanaojitegemea. Paul aka Rudeboy ameanzisha record label yake, Rudeboy Records, na Peter aka Mr P ametangaza rasmi uongozi wake mpya.
Nini chanzo cha ugomvi wao?
Inaonekana kuwa ugomvi ndani ya kundi hili ulikuwepo kwa muda mrefu na kwa kiasi kikubwa ulitokana na kaka yao Jude, kuwa meneja wao. Peter alihisi uongozi wa kaka yake uliokuwa wa kifamilia zaidi ulikuwa hauko sawa na alihitaji mabadiliko.
“A manager is been employed by the artiste not the other way round. #truthBeTold,” aliandika Peter February 17 mwaka huu katika mfululizo wa tweets kuelezea matatizo yao.
“People change management and you r not different. Usher Raymond did it,BeyoncĂ© did it as well. So it’s not new. Peter and Paul have the right to sack the entire management team. Business is Business. #Period. Been nurturing and managing these problems for over 4yrs now. Don’t take my silence as a weakness. #done,” aliongeza.
Mwanzoni alipigania kundi lao lisife lakini uongozi ubadilike.
“What the fans want is Peter and Paul Psquare and that’s what I want. Period! Psquare is not breaking up. But the management needs to go.”
Lakini inaonekana kuwa Paul hakuwa tayari kumtoa kaka yao Jude kama meneja wao. Na hiyo ndiyo sababu Peter ameamua kujiondoa kwenye kundi hilo. Mapacha hao walijikuta wakigawanyika na kurushiana vijembe February 18 kwenye Instagram. Paul alipost picha ambayo awali ilikuwa ikiwaonesha wao na kaka yao Jude, lakini akamuondoa Peter na kuandika:
This is where I belong and this is where I stand…….you do music in the studio, not on social media, you have family issues, you discuss that in close doors, not on social media ….. Family is family, blood is blood …. If you don’t do family business, then who am I to you?”
Kitendo hicho kilimuumiza Peter aliyejibu: And cutting me off from a picture and replacing me with a studio set says it all my bro. All because you want to sound matured and letting the pple insult and Laff at me. Peter Okoye the social media rant. I wish you well in all you do my bro. God bless our hustle.”
Mama yao angekuwepo yasingetokea?
Paul anaamini kama mama yake angelikuwa hai, yote yanayoendelea yasingetokea.
“Wish you were around, now I understand what these life is without having a mother, you’ve played your part thank you very much mum, miss you,” aliandika Paul kwenye picha ya marehemu mama yao aliyoiweka Instagram.
Mashabiki wameuamia lakini inabidi waukubali ukweli kuwa kundi hilo lililoiteka Afrika kwa kishindo kwa takriban miongo miwili limevunjika. Na sasa Peter na Paul wanaanza maisha ya solo huku Peter tayari akiwa ameanza kufanya show zake mwenyewe. Nani atafanya vizuri zaidi ya mwenzake? Muda utaongea.
Monday, 14 March 2016
P Square yapasuka
Kundi la P-Square halipo tena. Member wa kundi hilo, Peter Okoye amejitenga na kuanzisha management yake.

Hatua hiyo imekuja baada ya muimbaji huyo kutofautiana na meneja wao, Jude Okoye ambaye ni kaka yake. Jude anaendelea kuwa meneja wa pacha mwingine, Paul. Kupitia Instagram, Peter ameandika:
Work Mood. Thanks for all the love, support and concern pls continue to remain blessed as always. For bookings and enquiries, please contact my new management on 08037531340 [email] bookmrp2@gmail.com ||oyesng@yahoo.com #MrP.
Work Mood. Thanks for all the love, support and concern pls continue to remain blessed as always. For bookings and enquiries, please contact my new management on 08037531340 [email] bookmrp2@gmail.com ||oyesng@yahoo.com #MrP.
Wakati huo huo Paul ambaye ameanzisha record label yake, Rudeboy Records, amepost picha ya mama yao na kuandika:
Wish you were around, now I understand what these life is without having a mother, you’ve played your part thank you very much mum, miss you.”
Unknowncelebrity
Ay azidi kuitikisa Youtube
Ay aendelea kutikisa Youtube. Video yake ya Zigo Remix aliyo mshirikisha Diamond imefikisha Youtube Views 4 mil ndani ya siku 48 tu.

Zigo hit maker anazidi kufanya vizuri ijapokuwa video yake imekatazwa na TCRA kutochezwa mchana kitendo ambacho kimepingwa na wadau wengi wa muziki na sanaa kwa ujumla
AY ameandika kwenye akaunti yake ya intagram : 48 Days 4 Million Views + !!! Thank you soooooo much for the LOVE & SUPPORT 💥💥💥💥💥🙌🏿🙏🏾.”
Thursday, 3 March 2016
Unknowncelebrity
BELLE 9: Sina bifu na Diamond ila ni mtu aliye Hack account yangu
Watu wasiyo julikana wamehack akaunti ya facebook ya msanii Belle 9 na kuweka post yenye picha ya msanii Diamond na kuandika maneno yanayoashiria matusi ya nguoni.


Akizungumza na Bongo5 Alhamisi hii, Belle 9 amesema yeye anajulikana sio msanii wa kufanya vitu kama hivyo.
“Mimi sina tatizo na msanii wala sina upande wowote,” alisema Belle 9.
“Hili ni tatizo kama matatizo mengine, ni geni kwangu kwa sababu halijawai tokea lakini kwa wasanii wengine yalishatokea. Kwa hiyo naweza sema bado watu wangu wanaendelea kurekebisha tatizo na kuirudisha akaunti yangu. Mimi naimani kuwa watu wameelewa kwa sio mimi kwa sababu mimi sio mtu wa mambo hayo,” aliongeza Belle.
Sunday, 28 February 2016
Saturday, 20 February 2016
Unknowncelebrity, DID YOU KNOW?, WEALTHY
The 10 Richest Women of All Time

Throughout history, men are typically thought of as titans of industry and the money makers. Basically, vast fortunes are often assumed to come from a man's work. In the olden days, the law prevented women from owning property—which didn't help the fairer gender's cause when it came to amassing wealth. The sad fact is that women with huge personal net worth are very much a modern phenomenon.
The following 10 women span eras and centuries. They are also not JUST heiresses, we've focused on women who either created their own wealth, or if they inherited it, they've taken an active role in managing and growing their fortune. Because of this, Wal-Mart heiresses Alice Walton and Christy Walton don't make the list, even though Alice Walton is the richest woman in America.
Comparing these women's wealth across different centuries is challenging, so this ranking is initially based on the comparison of an individual's net worth to total global economic output in their era. That's why you won't see Oprah Winfrey ($3.2 billion) or Theranos' Elizabeth Holmes ($4.5 billion) on this list. Those two women, while extraordinarily wealthy and self-made, don't have enough money relative to the current global GDP to make the list. Once the top 10 women were narrowed down, we ranked the modern ones according to current net worth, and the ones from ancient eras by perceived net worth adjusted for inflation.
- Yang Huiyan
Net Worth:$5.2 billion
Lived: 1981-present
Nation: China
Yang Huiyan is heir to her father's enormous Chinese real estate empire. However, she is also quite a businesswoman in her own right and she is a member of the governance board of Country Garden, a property development company. She was hit hard by the economic recession in 2007. She started off with a $16.2 billion fortune, but following the financial crisis, her net worth plummeted to $5.2 billion.
- Charlene de Carvalho-Heineken
Net Worth:
$11.7 billion
Lived: 1954-present
Nation: Netherlands
Charlene De Carvalho-Heineken is the only child of Freddy Heineken, who served as CEO of the world's third largest beer company from 1971 to 1989. When Freddy Heineken died in 2002, Charlene inherited his $4.8 billion fortune and a 50% controlling interest in the family beer business. De Carvalho-Heineken was instrumental in choosing the company's current CEO, Jean-Francois van Boxmeer. Under his reign, Heineken has experienced rapid growth with the acquisition of more than $30 billion worth of breweries.

VOLKER HARTMANN/Getty Images
- Susanne Klatten
Net Worth: $16.2 billion
Lived: 1962-present
Nation: Germany
Susanne Klatten is the richest woman in Germany. Susanne, her mother Johanna, and brother Stefan own nearly 50% of BMW. But Susanne is not your ordinary heiress. She is an educated economist who also controls chemical manufacturer Altana and has worked since she got out of college. She worked for the advertising agency Young & Rubicam in Frankfurt for two years in the early 80s. She had a number of hands-on internships in her family's business empire. She gained further business experience in London with Dresdner Bank, the Munich branch of management consultants McKinsey, as well as the bank Reuschel & Co. In many cases of her employment, whether in a family owned company or not, she worked under the assumed name Susanne Kant so as not to receive special treatment and be approached and treated on her own terms, not those dictated by her inherited wealth.We think that's pretty cool and down to earth.
- Anne Cox Chambers
Net Worth: $17 billion
Lived: 1919-present
Nation: United States
Anne Cox Chambers is the sole surviving daughter of James M. Cox, the founder of privately held media conglomerate Cox Enterprises, and his second wife Margaretta Parker Blair. Cox inherited her father's business interests and she is the majority owner of the media giant that generates around $16 billion in annual revenues. She worked in the family business in various capacities for decades. She held a seat on the board of the company that includes such subsidiaries as Cox Communications (broadband and cable), Cox Media Group (newspapers, TV and ration stations), Manheim (car auctions), and AutoTrader.com well into her 90s. In November 2015, the now-96-year-old businesswoman stepped down from the board, distributing her stake to her three heirs
- Liliane Bettencourt
Net Worth: $35 billion
Lived: 1922-present
Nation: France
Liliane Bettencourt
is the sole heir to L'Oreal, the largest cosmetics company in the world, which was started by her father. In 1957, at the age of 35, Liliane inherited the L'Oreal empire when her father passed away. She held an active seat on the L'Oreal Board of Directors until 1995. She is also a large shareholder in Nestle. Now 91 years old, Liliane is no longer involved in running the company.
- Isabella of Castile
Net Worth:
1.45 million ducats, annually
Lived: 1451-1504
Nation: Spain
Queen Isabella I of Castile was, in her era, one of the richest monarchs in the world. Then she got even richer by marring her cousin Ferdinand of Aragon, which enabled her to consolidate her control over all of Spain by reclaiming the Iberian Peninsula and expanding into the New World. At the time of her death in 1504, she had an annual income of roughly 1.45 million ducats–the gold coin that was Spain's currency. She possessed the most valuable jewels and tapestries in the world at the time. As for Isabella's net worth, 1000 ducats is pretty much equal to 110.7 ounces of gold. Gold is currently $1,230 per ounce. Queen Isabella I was making 1.45 million ducats a year…do the math.
- Cleopatra
Net Worth: $95.8 billion
Lived: 69-30 BC
Nation: Egypt
Of course Cleopatra, one of the most legendary female rulers, is on this list. Cleopatra is remembered as much for her wealth and great beauty as she is for her mad skills in manipulating people for her own political gain. As pharaoh of Egypt, Cleopatra controlled some of the nation's largest industries at the time. It should be noted that Cleo wasn't always solvent enough to afford her life of luxury. She was known to borrow heavily from foreign investors to finance the many wars she waged during her reign.
- Catherine the Great
Net Worth: $1.5 trillion (estimated)
Lived: 1729-1796
Nation: Russia
Catherine the Great's rule over Russia gave her control of roughly 5% of global GDP in her era. She was helped by the fact that Russia is historically one of the largest empires in terms of land. Catherine is Russia's longest reigning female. Catherine hoped for liberal reform when she took the throne but changed her mind after the uprising of 1773.
- Hatshepsut
Net Worth: Not Known
Lived: 1507-1458 BC
Nation: Egypt
Hatshepsut was Egypt's first female pharaoh. She worked hard to convince her subjects that her reign was the will of the gods.
Hatshepsut is the richest female head of state in Egypt's history. Hatshepsut
rose to power after the death of her husband, who was also her half-brother. She controlled one of the ancient world's largest empires. She reigned for two decades and during that time had control over mines with vast stores of gold, copper, and precious stones.
- Empress Wu
Net Worth:
Not Known
Lived: 624-705 AD
Nation: China
The tale of Empress Wu is a juicy one. You don't get to be the richest woman of all time without a little intrigue and bloodshed. Empress Wu rose to power in the Tang Dynasty. In fact, she was the concubine of two emperors who happened to be father and son. When the son, Emperor Gaozong, became ruler, Wu was single minded and ruthless about eliminating her rivals for his affection. Reportedly, she killed her own week-old daughter and blamed the crime on one of Gaozong's main consorts, Empress Wang. Wang was then imprisoned and killed and Wu rose to power. During her 15-year reign, the empire of China expanded its lands deep into central Asia, making it one of the largest empires in the world.
Thursday, 11 February 2016
Saturday, 6 February 2016
Je huu ndio mwisho wa penzi kati ya wolper na mchumba wake?

Staa wa filamu Jacqueline Wolper ameibua maswali mengi kwa mashabiki wake wa filamu katika mitandao ya kijamii baada ya kuandika ujumbe unao onyesha huenda ametendwa katika mapenzi.

Wolper akiwa hana pete ya uchumba kidoleni

Wolper akiwa hana pete ya uchumba kidoleni
Muigizaji huyo ambaye mwisho wa mwaka jana (2015) alimtambulisha mpenzi wake mpya kwa mashabiki wake baada ya kuvalishwa pete, Ijumaa hii ameweka wazi yale yanayomsibu moyoni hali iliyowafanya mashabiki wake watafsiri ametendwa.
Kupidia instagram, Wolper ameandika:
Maisha yana mitihani migumu saana wakati mwingine unaweza kujiona umempata kumbe umepatikana. Unaweza hata kukufuru Mungu lakini kuna kale kausemi kanachosema tunajifunza kutokana namakosa me nimeanza kuzingatia misemo baada yakukua mkubwa.
Unaweza ukahsi unaishi na mjusi kumbe unaishi na nyoka mwenye sumu kali akikung’ata auponi ewwwe Mungu nipe nguvu eewe Mungu wangu nitoe upofu eewe Mungu washa taa kwenye giza nene nililopo ili nipate muangaza.

Wopler akiwa na mpenzi wake ambaye alimvalisha pete ya uchumba
Hata hivyo, Bongo5 imejaribu kumtafuta mwanadada huyo bila mafanikio, kwani hapokei simu wala ajibu meseji anazotumiwa.
Haya ni maoni ya mashabiki wake wa instagram
kate_brown538
Ushaachwa ivo ba pete kidolen hamna kiruuu, nenda kwa mond
zai2n1804
Asante Dada @wolperstylish kwa ujumbe wako mzuri japo wengi wamehisi tofauti kutokana na maneno uloyasema hapo juu ila Mimi nimeelewa vizuri sana thanks again coz nimejifunza kitu kutokana na ujumbe wako barikiwa sana
chegya_boy_
Pole sana my mungu yupo yote mapito IPO siku mungu atakuonesha chaguo llako xo omba mungu
Ushaachwa ivo ba pete kidolen hamna kiruuu, nenda kwa mond
zai2n1804
Asante Dada @wolperstylish kwa ujumbe wako mzuri japo wengi wamehisi tofauti kutokana na maneno uloyasema hapo juu ila Mimi nimeelewa vizuri sana thanks again coz nimejifunza kitu kutokana na ujumbe wako barikiwa sana
chegya_boy_
Pole sana my mungu yupo yote mapito IPO siku mungu atakuonesha chaguo llako xo omba mungu
Monday, 25 January 2016
Unknowncelebrity
Maajabu ya Zigo remix ya AY ft Diamond(video)

AY na Diamond wanasherehekea mafanikio yaliyokuja ndani ya muda mfupi ya remix ya Zigo, lakini haikuwa rahisi kuingia studio na kuirekodi.
Cha kufurahisha ni kuwa AY na Diamond walipanda ndege kwenda Afrika Kusini kushoot video ya wimbo huo wakati hata remix haijafanyika bado.
Sababu kubwa ni kuwa walipofika Afrika Kusini wote walijikuta wakiwa busy na mambo yao mengi na hivyo ratiba zilibana.
“Ilibidi mimi na Hermy tuingie kwenye mall tununue mic kwanza, tukanunua mic na cable na sound card tukaenda katika room ya Diamond tukaweka kwenye meza ya chakula tukarekodia hapo kwahiyo tukatengeneza studio hotelini,” AY alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM.
“Kwahiyo kilichofanyika nikaandika verse pale kama leo halafu kesho tukashoot video,” aliongeza Diamond.
Wanasema walitumia takriban saa moja kumaliza kurekodi.
Video ya wimbo huo imepokelewa vizuri na hadi sasa ina zaidi ya views 199k ndani ya siku 2
Unknowncelebrity
Idris Sultan amethibitisha kuwa Wema Sepetu ana mimba yake

Wema Sepetu ni mjamzito. Baba wa mtoto huyo ni mshindi wa Big Brother Africa 2014, Idris Sultan, kwa mujibu wa maneno yake mwenyewe.

Post ya Idris kwenye Instagram imezithibitisha tetesi za muda mrefu kuwa Wema ni mjamzito licha ya yeye mwenyewe kudai kuwa amekuwa akihangaika kupata mtoto kwa muda mrefu.
“Me and You are not the ordinary. I sleep,eat, talk and wake up to only thinking about you,” ameandika Idris kwenye post yake iliyopata comments zaidi ya 5,800 na likes zaidi ya 14,000.
“As much as utadhani kuwa you are blessed to have me no no I am blessed to have you. At 1st it was weird me kuangalia ndani ya kabati langu kuona nguo zako na viatu au ukiwa unaongea na mimi unaniambia vitu kama “Hivi baby unahisi akiwa wa kiume utafanyaje maana naona umekazana na wa kike” au ukiingia jikoni kwangu and take over my house with good food,” ameongeza.
“The way you look at other women wakinisogelea, how you always know when i need a kiss or a tight hug. The way you force me kuangalia Disney channel, how you wake up early these days to make me breakfast. I might bring you the most beautiful rose flower in the world and it will never look even half as beautiful as you are. When you’re jealous unasonya sonya, when am jealous i smile.”
“I would move mountains and planets just to make you happy. I will protect you, love you, spoil you, fight with you, cook with you, watch movies together, drive at night for no reason, sit with you and just stare at the stars. You’re more than i ever asked for, you’re my everything “My Wife.”
Sunday, 3 January 2016
Unknowncelebrity
Kanye West avunja rekodi X-mas kwa zawadi za Kim Kardashian
Kanye West anadaiwa kumnunulia mke wake, Kim Kardashian West, zawadi 150 za Christmas, Ijumaa iliyopita.


Mzigo huo wa zawadi ulioneshwa kwenye website ya Kim Kardashian.
Miongoni mwa zawadi hizo ni pamoja na nguo zenye thamani kubwa. Kwa mujibu wa Kim, Kanye alimtuma msaidizi wake Italia kufanya shopping ya nguo hizo na alikuwa akimpa maelekezo kwa Skype.
Cha kufurahisha zaidi wakati Kim anafungua zawadi hizi, Kanye alikuwa akiicheza albamu yake mpya, SWISH.
Jamaa awakutanisha EX wake wote kwenye whatsapp group
Umewahi kujiuliza inaweza kuwaje pale unapowakutanisha wapenzi wako wote wa zamani pamoja? Raha zaidi wakiwa wengi?

Ni mtihani kwa wanaume wengi lakini si kwa jamaa huyu aliyeamua kuwaunganisha ex wake na kuwatakia sikukuu njema ya Christmas ama kama yeye alivyoiita ‘ex-mas.’ Kijana huyo jasiri aitwaye Tom, alikuwa amekula bia mbili tatu na kupata ujasiri wa kuanzisha kundi la WhatsApp na kuwaunganisha maex wake wanne.
Hata hivyo wasichana hao Gemma, Bella, Steph na Lisa hawakupendezwa na mwaliko huu.
Chat hii inaonesha wazi:






Unknowncelebrity
Wema Sepetu alivyo mdiss Diamond kiaina
Si unajua kuna lile sakata la jina Simba ambalo Diamond amekuwa akilitumia na Mr Blue hivi karibuni kudai alilianzisha yeye?

Na sasa issue hiyo inaenda mbali zaidi. Wema ametumia Instagram kuingia pia kwenye issue hiyo katika njia ambayo inaishia kuwa dongo kwa ex wake.
“Watu walikuwa wanasubiria na mimi nitaje jina langu la mnyama… Mi ni Mnyama Ndio na Jina Langu ni WEMA SEPETU…. Gnyt Y’all…. Langu mwenyewe hilo…. Ila Balozi Kasema…. hihihihihi,” aliandika Wema.
Bila shaka bado hujaiona diss! Acha tukusanue. Diss ipo kwenye mstari huu ‘Ila balozi kasema.’

Kivipi? Siku ya show ya Alikiba kwenye boxing day, hitmaker huyo alijinadi kuwa yeye ni balozi wa wanyama – akimaanisha ubalozi wake wa Wild Aid, taasisi inayopigia debe haki za wanyama.
Wengi waliistafiri kauli hiyo kama dongo kwa wote wenye majina ya wanyama!
Sunday, 20 December 2015
Unknowncelebrity
Tanesco wataja kiasi wanachomdai Wema Sepetu

Tanesco wako shingoni kwa Wema Sepetu!

Hivi karibuni walifanya ziara ya kushtukiza kwenye nyumba yake na kubaini kuwa muigizaji huyo anatumia umeme wao bure!

Jana Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Eng. Felichesmi Mramba alizungumza na waandishi wa habari na kutaja kiasi cha fedha kitakachopatikana kutokana na faini waliyowapiga wezi mbalimbali wa umeme.


Imebainika kuwa Wema Sepetu anadaiwa shilingi 8,200,496.20.
Unknowncelebrity
Ben Pol ajitetea hivi kuhusu dis yake kwa Ali Kiba

Ben Pol amesema tweet ya utata aliyomuandikia Alikiba, alikusudia kumtumia kwenye ujumbe wa siri wa mtandao wa Twitter (DM) lakini akakosea na kuiweka wazi!

Juzi kupitia mtandao huo, Ben Pol alimuuliza Alikiba swali, “Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?”
Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa wasanii wamekuwa wakiambiana ukweli kuhusu muziki na maisha yao ili kuwekana sawa.
“Ile tweet kwanza nilikuwa nataka iende DM,” alisema.
“Unajua sisi wasanii tunaongeaga tu, mtu anaweza akakwambia ‘mwanangu mbona hauna kiki.’ Kwahiyo mimi nilikuwa naipeleka ile tweet DM, lakini nikaipost kimakosa ikaenda public,” alifafanua.
“Unajua sisi wasanii tunaongeaga tu, mtu anaweza akakwambia ‘mwanangu mbona hauna kiki.’ Kwahiyo mimi nilikuwa naipeleka ile tweet DM, lakini nikaipost kimakosa ikaenda public,” alifafanua.
“Mimi pale kitu kimoja kimenichanganya, watu wengine wamesema poa, wengine wanasema hapana, wengine wanatukana kwahiyo kwa kifupi hali imekuwa tafrani.”
“Sasa Ali alivyoona labda na yeye amelipokea vibaya baada ya kuona nimeweka public ndio maana akajibu namna ile. Kwa sababu hajanipigia akaniuliza mbona mwanangu umeandika hivi? Ila yeye aliona kama noma na iwe noma. Mimi haijanigharimu, labda kwa sababu watu wanaandika vibaya kwenye mitandao ya kijamii lakini hii ni kawaida lakini nachotaka watu wajue nilitaka tweet iende DM. Sijawahi kugombana naye, hatupo pamoja mara nyingi lakini tupo pamoja,” aliongeza.
Katika hatua nyingine Ben Pol amewataka mashabiki wake kuitazama video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ aliyoiachia wikiendi hii.
Subscribe to:
Posts (Atom)


