IMF laishtumu EU kuhusu Ugiriki

Posted by Unknown on 15:38 with No comments

Imf
Shirika la fedha duniani IMF limelaumu vikali masharti ya msaada wa kifedha ambao linasema mataifa yanayotumia sarafu ya euro yaliipa Ugiriki.
Afisa mmoja wa IMF amesema kuwa mabadiliko hayo ya Ugikiri ni vigumu kutekeleza na malengo katika ukuaji wake yatakuwa magumu kutimizwa.

IMF inasema kuwa Ugiriki inaweza kustahimili deni lake kwa kuchukuliwa hatua ambazo Ulaya haijakuwa na nia kuzitekeleza.
null
IMF
Waziri mkuu wa ugiriki Alexis Tsipras amekuwa akijaribu kuwashawishi wabunge kuyaunga mkono mabadiliki yaliyotolewa na mkutano wa Brussels huku yeye mwenyewe akisema kuwa hana imani nayo.
Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha televisheni bwana Tsipras alisema kuwa Ugiriki ingetimiliwa kutoka kwa muungano wa Ulaya ikiwa haingekubali makubaliano hayo.
Categories: