Kiongozi wa waasi BURUNDI asema wanajiandaa kumuondoa NKURUZINZA
Posted by Unknown on 16:49 with No comments
Afisa wa ngazi za juu katika jeshi la BURUNDI, aliyekuwa ni miongoni mwa walioongoza mapinduzi ya kijeshi yaliyokwama nchini humo mwezi
JENERALI, LEONARD NGENDAKUMANA
Afisa wa ngazi za juu katika jeshi la BURUNDI, aliyekuwa ni miongoni mwa walioongoza mapinduzi ya kijeshi yaliyokwama nchini humo mwezi MEI mwaka huu, JENERALI, LEONARD NGENDAKUMANA, amesema bado kundi lake linajiandaa kumwondoa madarakani Rais PIERRE NKRUNZIZA wa nchi hiyo.
Jenerali NGENDAKUMANA amesema dhamira ya kumwondoa madarakani Rais NKRUNZINZA bado ipo pale pale kutokana na kiongozi huyo kuiingiza BURUNDI kwenye machafuko baada ya uamuzi wake wa kuwania tena kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa tatu kinyume cha katiba.
Vyama vya upinzani nchini BURUNDI vimepinga hatua ya NKRUNZINZA kuiongoza tena nchi hiyo.
Jenerali NGENDAKUMANA amesema dhamira ya kumwondoa madarakani Rais NKRUNZINZA bado ipo pale pale kutokana na kiongozi huyo kuiingiza BURUNDI kwenye machafuko baada ya uamuzi wake wa kuwania tena kuiongoza nchi hiyo kwa muhula wa tatu kinyume cha katiba.
Vyama vya upinzani nchini BURUNDI vimepinga hatua ya NKRUNZINZA kuiongoza tena nchi hiyo.
Categories: NEWS

0 comments:
Post a Comment