Wagombea urais CCM watambulishwa visiwani Zanzibar
Posted by Unknown on 09:00 with No comments
Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. JOHN MAGUFULI ameahidi kushirikiana na viongozi wengine wa kuhakikisha wanachochea
Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. JOHN MAGUFULI ameahidi kushirikiana na viongozi wengine wa kuhakikisha wanachochea maendeleo kwa wananchi.
Dr.MAGUFULI ameyasema hayo katika viwanja vya ofisi ya CCM KISIWANDUI ZANZIBAR katika Mkutano maalum wa kutambulishwa kwa wananchi baada ya kuchaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM kwa ajili ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA
Awali akizungumza katika Mkutano huo, Mgombea Mwenza wa Urais SAMIA SULUHU HASSAN amewataka wanawake nchini kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
Wagombea hao kupitia CCM wametambulishwa kisiwani UNGUJA ikiwa ni Mkutano wa tatu baada ya ile iliyofanyika DODOMA na DSM
Dr.MAGUFULI ameyasema hayo katika viwanja vya ofisi ya CCM KISIWANDUI ZANZIBAR katika Mkutano maalum wa kutambulishwa kwa wananchi baada ya kuchaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM kwa ajili ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa TANZANIA
Awali akizungumza katika Mkutano huo, Mgombea Mwenza wa Urais SAMIA SULUHU HASSAN amewataka wanawake nchini kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
Wagombea hao kupitia CCM wametambulishwa kisiwani UNGUJA ikiwa ni Mkutano wa tatu baada ya ile iliyofanyika DODOMA na DSM
Categories: NEWS

0 comments:
Post a Comment