UKWELI KUHUSU DK MWAKA HUU HAPA
Posted by Unknown on 19:01 with No comments
Rafiki wa karibu wa tabibu J.J,Mwaka, maarufu kama Lemutuz ambaye pia ni mtoto wa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh John Malecela ameeleza juu ya kinachoendelea kumuhusu rafiki yake huyo.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Lemutuz ameeleza kuwa anaimani kuwa anachokifanya Dkt Mwaka kimefuata sheria na taratibu za utabibu hivyo anasubiri taarifa kutoka wizarani ili kujua watatoa maamuzi gani.
Ameeleza kuwa Dkt Mwaka amekwisha ripoti wizarani akiwa ameambatana na vieelelezo vyote ambavyo serikali waliagiza aendenavyo, hivyo anaimani na kitakacho amuuliwa na wizara juu ya Dkt Mwaka.Lemutuz ameeongeza ikitokea ikabainika Dkt Mwaka kuhusika na vitu ambavyo anatuhumiwa navyo, ni vyema sheria ikafanya mkondo wake.
Categories: NEWS

0 comments:
Post a Comment