Wakazi wa Kigoma wagomea ujenzi wa bandari Kavu

Posted by Unknown on 13:44 with No comments

Jeshi la Polisi Kigoma,limelazimika kutumia nguvu na mabomu ya machozi kuwatawanya mamia ya wakazi wa mtaa wa katosho na kahabwa kata ya kibirizi katika manispaa ya Kigoma ujiji ,waliokuwa wakiandamana kupinga nyumba zao kuwekwa notisi ya kuhama kupisha ujenzi wa bandari kavu.


Categories: